يَـا سَـيِّـدَ الرُّسْـلِ غَـارَة
Ewe Bwana wa Mitume, Toa Ulinzi
Sw
الله الله يَا الله الله الله يَا الله
يَـا رَبِّ صَـلِّ عَـلَـى الـمُخْتَارِ خَيْرِ العَبِيدْ
Allah, Allah, Ee Allah! Allah, Allah, Ee Allah!
Ee Mola, mswalie Mteule, mbora wa waja.
يَـا سَـيِّـدَ الرُّسْـلِ غَـارَةْ لِأَقَـلِّ الـعَـبِـيـدْ
بِـوَصْلِ مَـحْبُوبِ قَـلْبِي يَـنْطَفِي ذَا الوَقِيدْ
Ee Bwana wa Mitume, msaidie mja duni kabisa
Kwa kuungana na mpenzi wa moyo wangu, moto huu utazimika.
قَـدْ يَـجْـمَـعُ اللهُ مِـنْ بَعْدِ الأَيَـاسِ البَعيدْ
وَكَيْفَ آيِسْ وَهُـوْ قَـادِرْ عَـلَـى مَـا يُرِيـدْ
Allah anaweza kukutanisha baada ya kukata tamaa kwa muda mrefu
Na nitakataje tamaa naye ni Muweza wa kila anachokitaka?
نَـذَرْتُ شَافْعَلْ إذَا شَاهَدْتُ عَيدِيدَ عِيدْ
يَــا وَادِيَ الغِيدِ ذِي مَــا مِثْلُهُمْ قَــطُّ غِيدْ
Niliweka nadhiri nitakayoyatenda nikiuona msimu wa 'Aidid
Ee bonde la wenye uzuri, ambao mfano wao haujapata kutokea.
قُـولُـوا لَـهُـمْ: مَـا تَـرِقُّوا لِلغَرِيبِ الوَحِيدْ
مَـهْـلاً مِـنَ البُعْدِ مَهْلاً مَـا عَـلَـى ذَا مَزِيدْ
Waambieni: Je, hamumhurumii mgeni mpweke?
Inatosha umbali huu, inatosha; kwani hakuna uvumilivu zaidi.
وَلَا بَـلـي قَــطّْ شَوْقِي غَـيـرَ دَائِـمْ جَدِيدْ
لِعَيْدَرُوسِ الـمَـعَـالِـي ثُــمَّ سَعْدِ السَّعِيدْ
Hamu yangu haichakai kamwe; ni ya kudumu na yenye kufufuka
Kwa ajili ya 'Aydarus wa vyeo vya juu, na kwa Sa'ad mwenye kheri.
كَـمْ دَمَّـرُوا لِـي أَعَـادِي رُبَّ ظَـالِـمْ عَنِيدْ
وَأَنَا بِهِم إِنْ قَصَرْ جَهْدِي فِي النَّاسِ جِيدْ
Ni maadui wangapi walionishindia, madhalimu wengi wakaidi
Na kupitia wao, ingawa juhudi zangu ni chache, nimeheshimika miongoni mwa watu.
وَكُـلُّ عَـامٍ يَـقُـولُــوا هَــانْ وَأَنــا أَزِيــدْ
بِـعَـونِ رَبِّـي وَأَخْـتِـمْ بِـالـوَلِـيِّ الـحَمِيدْ
Na kila mwaka husema amedhoofika, lakini mimi nazidi tu
Kwa msaada wa Mola wangu, na nahitimisha kwa Walii mwenye kusifiwa.
صَـلُّـوا عَـلَـى أَحْـمَـدْ وَمَـنْ صَلَّـى عَـلَـى أَحْـمَـدْ يُـفِـيـدْ
Mswalieni Ahmad, kwani anayemsalia Ahmad hufaulu