يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola, kwao na kwa babu yao, harakisha ushindi na faraja.
Sw
Sw
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
عَجِّلْ بِالْسَّعْيِ لِنَحْوِهِمِ
تَلْقَ الْرِّضْوَانَ وَتَبْتَهِجِ
Harakisisha juhudi kuelekea kwao
utapata radhi na utafurahi
هُمْ أَهْلُ الْبَيْتِ أَئِمَّتُنَا
فِي الْخُلْدِ لَهُمْ أَعْلَى الْدَّرَجِ
Wao ni Ahlul Bait viongozi wetu
peponi wana vyeo vya juu kabisa
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
سَلِّمْ تَسْلَمْ وَانْظُرْ عَجَبًا
تِلْكَ الْأَنْوَارُ مِنَ الْفَرَجِ
Salimu usalimike na uone ajabu
nuru hizo zitokazo kwenye faraja
وَاشْرَبْ وَاطْرَبْ وَانْشَقْ عَطِرًا
قَدْ فَاقَ شَذَاهُ عَلَى الْأَرَجِ
Kunywa, furahi na nusa manukato
harufu yake imeshinda kila uturi
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
قَوْمٌ سَادُوا فِي الْخُلْدِ عَلَى
أَهْلِ الْجَنَّاتِ أُولِي الْسُّرُجِ
Watu walioongoza milele juu ya
watu wa peponi wenye taa
وَلَهُمْ جَاهٌ وَبِجَدِّهِمُ
يَنْجُو مَنْ زَارَ فَذَاكَ نُجِي
Wana utukufu na kwa babu yao
huokoka azuruye basi amewasili
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
أَبْشِرْ إِنْ جِئْتَ لِدَارِهِمُ
قَدْ فُزْتَ سَرِيعًا بِالْفَرَجِ
Furahi ukifika kwenye nyumba yao
umeshinda upesi kwa kupata faraja
سَادُوا الْأَقْطَابَ لَهُمْ شَرَفٌ
يُضْوِي كَالْشَّمْسِ لَدَى الْمُهَجِ
Walipita ma-Qutbu wana heshima
inayong'aa kama jua ndani ya roho
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
اِذْهَبْ بِالْلَّيْلِ لِرَوْضَتِهِمْ
أَقْدِمْ أَسْرِعْ بِالْحُبِّ وَجِي
Nenda usiku kwenye bustani yao
njoo, harafisha kwa mapenzi na ufike
أَخْلِصْ لِلهِ بِزَوْرَتِهِمْ
أَخْلِصْ فِي الْسَّيْرِ بِلَا عِوَجِ
Takasa nia kwa Mungu kwa kuwazuru
fanya ikhlasi safarini bila upotofu
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
رَاقِبْ لِلْنَّفْسِ وَشَهْوَتِهَا
إِيَّاكَ تُصَاحِبُ لِلْهَمَجِ
Ichunge nafsi na matamanio yake
jihadhari kufuatana na wasio na adabu
اِعْرِفْ قَدْرَ الْأَحْبَابِ وَكُنْ
عِنْدَ الْأَحْبَابِ أُولِي الْدَّرَجِ
Jua thamani ya wapendwa na uwe
pamoja na wapendwa wenye vyeo vya juu
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
وَاسْمَعْ مِنْهُمْ مَا تَسْمَعُهُ
إِنْ كُنْتَ سَمِيعًا وَابْتَهِجِ
Sikiliza kutoka kwao kile usikiacho
ukiwa msikivu kweli basi furahi
فَهُنَاكَ لِرُوحِكَ أَسْرَارٌ
تَخْفَى الْأَسْرَارُ عَلَى السَّمِجِ
Kwani huko kuna siri za roho yako
siri zinazofichika kwa wasio na busara
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
وَلِأَهْلِ الْحُبِّ مُعَتَّقَةً
كَأْسُ الْأَسْرَارِ بِلَا وَهَجِ
Na kwa watu wa mapenzi kuna kinywaji cha kale
kikombe cha siri kisicho na muwasho
فَاشْرَبْ مَا دُمْتَ مُحِبَّهُمُ
كَأْسًا تَنْهَاكَ عَنِ الْعِوَجِ
Basi kunywa madamu unawapenda
kikombe kitakachokuzuia na upotofu
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
لا تَسْمَعْ قَوْلَ مُكَدِّرِهَا
أَعْدَى الأَعْدَاءِ الْمُعْتَلِجِ
وَاسْمَعْ أَقْوَالَ مُحِبِّهِمِ
كَالْشَّهْدِ بِهِ أَقْوَى الْحُجَجِ
Sikiliza maneno ya mpenzi wao
kama asali ndani yake mna hoja thabiti
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
وَدَعِ الْإِنْكَارَ لِمُنْكِرِهِ
عَبْدٌ مَحْرُومٌ فِي لُجَجِ
Acha kupinga kwa mwenye kupinga
mja aliyenyimwa katika kina cha giza
لَوْ شَاهَدَ نُورَ أَحِبَّتِنَا
مَا أَنْكَرَ إِنْكَارَ الْلَّجَجِ
Lau angeshuhudia nuru ya wapendwa wetu
asingepinga kwa upingaji wa ushindani
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
مَا قَالَ مَقَالَةَ ذِي جَهْلٍ
مَا قَالَ مَقَالَةَ ذِي عِوَجٍ
Asingesema usemi wa mwenye ujinga
wala usemi wa mwenye upotofu
وَصَلَاةُ اللهِ تَحِيَّتُهُ
لِلْهَادِي الْنَّاسَ إِلَى الْنَّهَجِ
Rehema za Mungu na amani yake
kwa muongoza watu kwenye njia
يَا رَبِّ بِهِمْ وَبِجَدِّهِمِ
عَجِّلْ بِالْنَّصْرِ وَبِالْفَرَجِ
Ee Mola kwao na kwa babu yao
harafisha nusura na faraja
وَالْآلِ جَمِيعًا سَادَتِنَا
أَهْلِ الْتَّوْفِيقِ إِلَى الْبَلَجِ
Na jamaa wote viongozi wetu
watu wa tawfiki kuelekea mwangaza
مَا (صَالِحُ) يَتْلُو أَمْدَاحًا
تَضْوِي لَيْلًا مِثْلَ الْسُّرُجِ
Maadamu Salih anasoma sifa
zinazong'aa usiku kama taa